Neno la Leo: Warumi 15:13 — Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini… Soma zaidi →
Karibu PHM Kanisa

Pentecostal
Holiness Mission
Jumba la Shangwe

Tunaamini katika nguvu ya Mungu, upendo wa Kristo, na mwongozo wa Roho Mtakatifu. Karibu uwe sehemu ya familia yetu ya imani.

5
Kanda
4+
Miradi
7
Siku / Wiki
Deo Mgimbe
Mchungaji Deo Mgimbe
Neno la Leo
Warumi 15:13 — Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.
Soma Zaidi

Dhamira, Maono & Maadili

Tunasimama juu ya msingi imara wa Neno la Mungu, tukijitahidi kutumika kwa uaminifu na utukufu wake.

Dhamira Yetu

Kuhubiri Injili ya Yesu Kristo kwa nguvu ya Roho Mtakatifu, kujenga kanisa imara la waumini wanaomcha Mungu na kutumika jamii kwa upendo, hekima, na uaminifu.

Maono Yetu

Kuwa kanisa la mfano Afrika Mashariki — lenye nguvu ya kiroho, umoja wa kweli, ukwasi wa elimu ya Biblia, na ushirikiano madhubuti katika jamii.

Maadili Yetu

Imani • Upendo • Utumishi • Uadilifu • Umoja • Bidii • Huduma ya Kweli

Imani Upendo Umoja Uadilifu Utumishi

Miradi ya Kanisa

Jiunge na familia yetu kuijenga kanisa la Mungu. Kila mchango mdogo au mkubwa unafanya tofauti kubwa.

MRADI WA UJENZI WA KANISA KUU (PROPOSED CATHEDRAL)

Luka 6:38: "Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa, na kushindiliwa, na kusukw…

0 TZS 0%
Lengo: 100000000 TZS
Changia Sasa
UKARABATI WA JENGO LA KUABUDIA
UKARABATI WA JENGO LA KUABUDIA

2 Wakorintho 9:7: "Kila mmoja na atoe kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni wala…

0 TZS 0%
Lengo: 7500000 TZS
Changia Sasa

Viongozi wa Kanisa

Kanisa letu linaongozwa na watumishi waaminifu waliochaguliwa na Mungu kwa huduma ya waumini na jamii.

Vicent William Senyagwa
Vicent William Senyagwa
Katibu
Pendo Lameck
Pendo Lameck
Mhasibu

Karibu Kanisani PHM

Tunakukaribisha kuja na kuabudu pamoja nasi. Tunahimiza ushirika wote wa kanisa. Tuna furaha kushirikiana nawe katika safari ya imani, matumaini, na upendo wa Mungu.

Nyakati za Ibada
Jumapili
08:00 AM – 01:00 PM
Jumatano
03:30 PM – 06:00 PM
Ijumaa
04:30 PM – 06:00 PM